Zaburi 119:99 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 99 Nimepata kuwa na ufahamu kuliko walimu wangu wote,+Kwa sababu vikumbusho vyako ndivyo ninavyohangaikia.+ Waefeso 4:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 ili tusiwe tena watoto wachanga, tukirushwa huku na huku+ kama kwa mawimbi na kuchukuliwa huku na huku na kila upepo wa fundisho+ kupitia udanganyifu+ wa watu, kwa njia ya ujanja katika kutunga kosa. Waebrania 5:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa maana kila mtu anayetumia maziwa hafahamu neno la uadilifu, kwa maana yeye ni mtoto mchanga.+
99 Nimepata kuwa na ufahamu kuliko walimu wangu wote,+Kwa sababu vikumbusho vyako ndivyo ninavyohangaikia.+
14 ili tusiwe tena watoto wachanga, tukirushwa huku na huku+ kama kwa mawimbi na kuchukuliwa huku na huku na kila upepo wa fundisho+ kupitia udanganyifu+ wa watu, kwa njia ya ujanja katika kutunga kosa.