Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 21:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Mtu anayeiacha njia ya ufahamu,+ atapumzika katika kutaniko la wale wasiojiweza katika kifo.+

  • Mathayo 11:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Wakati huo Yesu akajibu, akasema: “Ninakusifu wewe hadharani, Baba, Bwana wa mbingu na dunia, kwa sababu umewaficha mambo haya wenye hekima na wenye akili na umeyafunua kwa watoto.+

  • Mathayo 13:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Akajibu, akasema: “Ninyi mmepewa uwezo wa kuzielewa siri takatifu+ za ufalme wa mbinguni, lakini wao hawakupewa.+

  • Luka 2:46
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 Basi, baada ya siku tatu wakampata katika hekalu,+ ameketi katikati ya walimu, akiwasikiliza na kuwauliza maswali.

  • 2 Timotheo 3:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 na kwamba tangu utoto mchanga+ umeyajua maandishi matakatifu, ambayo yanaweza kukufanya uwe mwenye hekima kwa ajili ya wokovu+ kupitia imani kuhusiana na Kristo Yesu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki