Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 8:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Kutoka katika kinywa cha watoto na wanaonyonya umeiweka misingi ya nguvu,+

      Kwa sababu ya wale wanaokuonyesha uadui,+

      Ili kumkomesha adui na yule anayejilipizia kisasi.+

  • Isaya 29:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 kwa hiyo, tazama, mimi hapa, yule Mmoja atakayekitendea tena kikundi hiki cha watu kwa njia ya ajabu,+ kwa njia ya ajabu na kwa jambo la ajabu; na hekima ya watu wao wenye hekima itaangamia, na uelewaji wa watu wao wenye busara utajificha.”+

  • Mathayo 13:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kwa maana moyo wa watu hawa umekuwa mgumu, nao wamesikia kwa masikio yao bila kuitikia, nao wamefunga macho yao; ili wasione kamwe kwa macho yao na kusikia kwa masikio yao na kuelewa maana kwa mioyo yao na kugeuka, nami niwaponye.’+

  • Luka 10:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Katika saa ileile akawa na shangwe+ sana katika roho takatifu, akasema: “Ninakusifu hadharani wewe, Baba, Bwana wa mbingu na dunia, kwa sababu umewaficha kwa uangalifu wenye hekima+ na walio na akili mambo hayo, nawe umeyafunua kwa watoto. Ndiyo, Ee Baba, kwa sababu kufanya hivyo kulikuja kuwa njia inayokubaliwa na wewe.

  • 1 Wakorintho 1:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 bali Mungu alivichagua vitu vipumbavu vya ulimwengu,+ ili awaaibishe watu wenye hekima; na Mungu alivichagua vitu dhaifu vya ulimwengu, ili aviaibishe vitu vyenye nguvu;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki