21 Kwa maana Yehova atasimama kama katika Mlima Perasimu,+ atafadhaika kama katika nchi tambarare ya chini karibu na Gibeoni,+ ili afanye tendo lake—tendo lake ni la ajabu—na ili afanye kazi yake—kazi yake si ya kawaida.+
5 “Oneni, kati ya mataifa, tazameni, mkaangaliane kwa mshangao.+ Shangaeni; kwa maana kuna utendaji ambao mtu anaufanya katika siku zenu, ambao hamtaamini ijapokuwa unasimuliwa.+