Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 28:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Kwa maana Yehova atasimama kama katika Mlima Perasimu,+ atafadhaika kama katika nchi tambarare ya chini karibu na Gibeoni,+ ili afanye tendo lake​—​tendo lake ni la ajabu​—​na ili afanye kazi yake​—​kazi yake si ya kawaida.+

  • Isaya 29:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 kwa hiyo, tazama, mimi hapa, yule Mmoja atakayekitendea tena kikundi hiki cha watu kwa njia ya ajabu,+ kwa njia ya ajabu na kwa jambo la ajabu; na hekima ya watu wao wenye hekima itaangamia, na uelewaji wa watu wao wenye busara utajificha.”+

  • Matendo 13:41
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 41 ‘Oneni, ninyi wenye kudharau, mstaajabie, na mtoweke, kwa sababu ninafanya tendo katika siku zenu, tendo ambalo hamtaliamini hata kidogo hata yeyote akiwaeleza kirefu.’ ”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki