Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 8:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Wenye hekima wameona aibu.+ Wameingiwa na woga nao watashikwa. Tazama! Wamelikataa neno la Yehova, nao wana hekima gani?+

  • Yohana 9:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Na Yesu akasema: “Kwa ajili ya hukumu+ hii mimi nilikuja katika ulimwengu huu: ili wale ambao hawaoni+ wapate kuona na wale wanaoona wapate kuwa vipofu.”+

  • Matendo 28:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 ikisema, ‘Nenda kwa watu hawa na kusema: “Kwa kusikia, mtasikia lakini msielewe kamwe; na, kutazama, mtatazama, lakini msione kamwe.+

  • Waroma 1:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Na kama vile ambavyo hawakukubali kumjua Mungu katika ujuzi sahihi,+ Mungu aliwaacha katika hali ya akili iliyokataliwa,+ ili wafanye mambo yasiyofaa,+

  • 1 Wakorintho 1:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Kwa maana imeandikwa: “Nitaiangamiza hekima ya watu wenye hekima,+ na akili ya watu wenye akili+ nitaitupa kando.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki