39 Na Yesu akasema: “Kwa ajili ya hukumu+ hii mimi nilikuja katika ulimwengu huu: ili wale ambao hawaoni+ wapate kuona na wale wanaoona wapate kuwa vipofu.”+
28 Na kama vile ambavyo hawakukubali kumjua Mungu katika ujuzi sahihi,+ Mungu aliwaacha katika hali ya akili iliyokataliwa,+ ili wafanye mambo yasiyofaa,+