Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 6:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Naye akaendelea kusema: “Nenda, nawe uwaambie watu hawa, ‘Sikieni tena na tena, lakini msielewe; na mwone tena na tena, lakini msipate ujuzi wowote.’+

  • Yeremia 5:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Manabii wenyewe kwa kweli wanatoa unabii kwa uwongo;+ nao makuhani wanakandamiza kulingana na nguvu zao.+ Na watu wangu wamependa mambo yawe hivyo;+ nanyi mtafanya nini mwisho wake?”+

  • Ezekieli 12:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Mwana wa binadamu, unakaa katikati ya nyumba yenye kuasi,+ ambao wana macho ya kuona lakini kwa kweli hawaoni,+ ambao wana masikio ya kusikia lakini kwa kweli hawasikii,+ kwa maana wao ni nyumba yenye kuasi.+

  • Waroma 11:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 kama ilivyoandikwa: “Mungu amewapa roho ya usingizi mzito,+ macho ili wasione na masikio ili wasisikie, mpaka leo hii.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki