9 Naye akaendelea kusema: “Nenda, nawe uwaambie watu hawa, ‘Sikieni tena na tena, lakini msielewe; na mwone tena na tena, lakini msipate ujuzi wowote.’+
31 Manabii wenyewe kwa kweli wanatoa unabii kwa uwongo;+ nao makuhani wanakandamiza kulingana na nguvu zao.+ Na watu wangu wamependa mambo yawe hivyo;+ nanyi mtafanya nini mwisho wake?”+
2 “Mwana wa binadamu, unakaa katikati ya nyumba yenye kuasi,+ ambao wana macho ya kuona lakini kwa kweli hawaoni,+ ambao wana masikio ya kusikia lakini kwa kweli hawasikii,+ kwa maana wao ni nyumba yenye kuasi.+