Kumbukumbu la Torati 29:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na bado Yehova hajawapa ninyi moyo wa kujua na macho ya kuona na masikio ya kusikia mpaka leo hii.+ Yeremia 5:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 “Sikieni jambo hili, sasa, enyi watu wasio na hekima ambao hawana moyo wa ufahamu:+ Wana macho, lakini hawawezi kuona;+ wana masikio, lakini hawawezi kusikia.+
4 Na bado Yehova hajawapa ninyi moyo wa kujua na macho ya kuona na masikio ya kusikia mpaka leo hii.+
21 “Sikieni jambo hili, sasa, enyi watu wasio na hekima ambao hawana moyo wa ufahamu:+ Wana macho, lakini hawawezi kuona;+ wana masikio, lakini hawawezi kusikia.+