Kumbukumbu la Torati 29:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na bado Yehova hajawapa ninyi moyo wa kujua na macho ya kuona na masikio ya kusikia mpaka leo hii.+ Yeremia 4:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa maana watu wangu ni wapumbavu.+ Hawanijali mimi.+ Wao ni wana wasio na hekima; nao si wale walio na uelewaji.+ Wana hekima ya kutenda mabaya, lakini kwa kweli hawajui kutenda mema.+
4 Na bado Yehova hajawapa ninyi moyo wa kujua na macho ya kuona na masikio ya kusikia mpaka leo hii.+
22 Kwa maana watu wangu ni wapumbavu.+ Hawanijali mimi.+ Wao ni wana wasio na hekima; nao si wale walio na uelewaji.+ Wana hekima ya kutenda mabaya, lakini kwa kweli hawajui kutenda mema.+