9 Naye akaendelea kusema: “Nenda, nawe uwaambie watu hawa, ‘Sikieni tena na tena, lakini msielewe; na mwone tena na tena, lakini msipate ujuzi wowote.’+
21 “Sikieni jambo hili, sasa, enyi watu wasio na hekima ambao hawana moyo wa ufahamu:+ Wana macho, lakini hawawezi kuona;+ wana masikio, lakini hawawezi kusikia.+