Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 6:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Naye akaendelea kusema: “Nenda, nawe uwaambie watu hawa, ‘Sikieni tena na tena, lakini msielewe; na mwone tena na tena, lakini msipate ujuzi wowote.’+

  • Ezekieli 12:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Mwana wa binadamu, unakaa katikati ya nyumba yenye kuasi,+ ambao wana macho ya kuona lakini kwa kweli hawaoni,+ ambao wana masikio ya kusikia lakini kwa kweli hawasikii,+ kwa maana wao ni nyumba yenye kuasi.+

  • Hosea 7:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na Efraimu ni kama njiwa+ mjinga, asiye na ufahamu.+ Wameita Misri;+ wameenda Ashuru.+

  • Mathayo 13:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Ndiyo sababu ninasema nao kwa kutumia mifano, kwa sababu, wakitazama, wanatazama bure, na wakisikia, wanasikia bure, wala hawaelewi;+

  • Marko 8:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 ‘Ijapokuwa mna macho, hamwoni; na ijapokuwa mna masikio, hamsikii?’+ Na je, hamkumbuki,

  • Matendo 28:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 ikisema, ‘Nenda kwa watu hawa na kusema: “Kwa kusikia, mtasikia lakini msielewe kamwe; na, kutazama, mtatazama, lakini msione kamwe.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki