3 Naye akaendelea kuniambia: “Mwana wa binadamu, ninakutuma kwa wana wa Israeli,+ kwa mataifa yenye kuasi ambayo yameniasi.+ Hao wenyewe na mababu zao wamenitendea makosa mpaka siku hii ya leo.+
26 Nami nitaufanya ulimi wako ushikamane na kaakaa la kinywa chako,+ nawe hakika utakuwa bubu,+ na kwao wewe hutakuwa mtu mwenye kutoa karipio,+ kwa sababu wao ni nyumba yenye kuasi.+