Ezekieli 24:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Katika siku hiyo kinywa chako kitafunguliwa kuelekea aliyeponyoka,+ nawe utasema nawe hutakuwa bubu tena;+ nawe hakika utakuwa ishara kwao,+ nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.”+ Luka 1:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Lakini alipotoka hakuweza kusema nao, nao wakafahamu kwamba alikuwa ameona maono yanayozidi nguvu za asili+ ndani ya patakatifu; naye akawa anawatolea ishara, lakini akaendelea kuwa bubu.
27 Katika siku hiyo kinywa chako kitafunguliwa kuelekea aliyeponyoka,+ nawe utasema nawe hutakuwa bubu tena;+ nawe hakika utakuwa ishara kwao,+ nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.”+
22 Lakini alipotoka hakuweza kusema nao, nao wakafahamu kwamba alikuwa ameona maono yanayozidi nguvu za asili+ ndani ya patakatifu; naye akawa anawatolea ishara, lakini akaendelea kuwa bubu.