26 Nami nitaufanya ulimi wako ushikamane na kaakaa la kinywa chako,+ nawe hakika utakuwa bubu,+ na kwao wewe hutakuwa mtu mwenye kutoa karipio,+ kwa sababu wao ni nyumba yenye kuasi.+
22 Basi mkono wa Yehova ulikuwa juu yangu wakati wa jioni kabla ya kuja kwa huyo aliyeponyoka,+ na Yeye akakifungua kinywa changu kabla ya huyo kunijia wakati wa asubuhi, nacho kinywa changu kilikuwa kimefunguliwa nami sikuwa bubu tena.+
20 Lakini, tazama! utakuwa kimya+ nawe hutaweza kusema mpaka siku ambayo mambo hayo yatatendeka, kwa sababu hukuamini maneno yangu, ambayo yatatimizwa katika wakati wake uliowekwa.”