Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 9:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Mmejionyesha kuwa wenye tabia ya kumwasi Yehova+ tangu siku niliyowajua ninyi.

  • Nehemia 9:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 “Hata hivyo, wakakosa kutii,+ wakakuasi+ na kuzidi kutupa sheria yako nyuma ya migongo yao,+ wakawaua manabii wako mwenyewe,+ waliotoa ushahidi juu yao ili kuwarudisha kwako;+ nao wakaendelea kutenda matendo ya ukosefu mkubwa wa heshima.+

  • Zaburi 78:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Nao wasiwe kama mababu zao,+

      Kizazi chenye ukaidi na chenye kuasi,+

      Kizazi ambacho hakikuwa kimetayarisha moyo wake+

      Na ambacho roho yake haikuwa yenye kutegemeka kwa Mungu.+

  • Yeremia 3:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Tunalala katika aibu+ yetu, na fedheha yetu inaendelea kutufunika;+ kwa maana tumemtendea dhambi+ Yehova Mungu wetu, sisi na baba zetu tangu ujana wetu na kuendelea mpaka leo hii,+ nasi hatukuitii sauti ya Yehova Mungu wetu.”+

  • Ezekieli 20:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Nami nikawaambia wana wao nyikani,+ ‘Msitembee katika masharti ya mababu zenu,+ wala msizishike hukumu zao,+ wala msijitie unajisi kwa sanamu zao za mavi.+

  • Matendo 7:51
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 51 “Ninyi watu wenye shingo ngumu na wasiotahiriwa katika mioyo+ na masikio, sikuzote mnaipinga roho takatifu; kama mababu zenu walivyofanya, ndivyo ninyi mnavyofanya.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki