Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 78:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Nao wasiwe kama mababu zao,+

      Kizazi chenye ukaidi na chenye kuasi,+

      Kizazi ambacho hakikuwa kimetayarisha moyo wake+

      Na ambacho roho yake haikuwa yenye kutegemeka kwa Mungu.+

  • Ezekieli 5:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Kwa hiyo hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema, ‘Kwa sababu mlikuwa na fujo+ kuliko mataifa yanayowazunguka ninyi pande zote, hamkutembea katika sheria zangu na hamkufanya maamuzi yangu ya hukumu;+ bali mlifanya kulingana na maamuzi ya hukumu ya mataifa yanayowazunguka pande zote, sivyo?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki