11 “Kwa sababu Manase+ mfalme wa Yuda amefanya machukizo+ haya, ametenda kwa uovu zaidi kuliko yote waliyotenda Waamori+ waliomtangulia, naye akasababisha Yuda watende dhambi+ kwa sanamu zake za mavi.
11 Je, taifa limebadili miungu,+ kwa ajili ya ile ambayo si miungu?+ Lakini watu wangu mwenyewe wameubadili utukufu wangu kwa ajili ya kitu ambacho hakiwezi kuleta faida yoyote.+
47 Nawe hukutembea katika njia zao, wala hukufanya kulingana na machukizo yao.+ Baada ya kitambo kidogo sana hata ulianza kutenda kwa uharibifu zaidi kuliko walivyofanya katika njia zako zote.+