7 “Kwa hiyo, Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: ‘Kwa sababu mlikuwa wasumbufu kuliko mataifa yote yanayowazunguka na hamkutembea katika amri zangu au kutenda kulingana na sheria zangu, badala yake mkafuata sheria za mataifa yanayowazunguka pande zote,+