Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 12:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Lakini yeye alifanya yaliyokuwa mabaya,+ kwa maana hakuwa ameufanya imara moyo wake ili kumtafuta Yehova.+

  • Zaburi 81:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Na kwa hiyo nikawaacha waende katika ukaidi wa moyo wao;+

      Wakatembea katika mashauri yao wenyewe.+

  • Yeremia 5:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Lakini hawa watu wamekuwa na moyo mgumu na wenye kuasi; wamegeuka kando nao wanaendelea kutembea katika mwendo wao.+

  • Yeremia 7:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Lakini hawakusikiliza, wala hawakutega sikio lao,+ bali wakatembea katika mashauri kwa ukaidi wa moyo wao mbaya,+ hivi kwamba wakawa watu wa kuelekea nyuma wala si mbele,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki