2 Mambo ya Nyakati 12:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Lakini yeye alifanya yaliyokuwa mabaya,+ kwa maana hakuwa ameufanya imara moyo wake ili kumtafuta Yehova.+ Zaburi 81:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na kwa hiyo nikawaacha waende katika ukaidi wa moyo wao;+Wakatembea katika mashauri yao wenyewe.+ Yeremia 5:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Lakini hawa watu wamekuwa na moyo mgumu na wenye kuasi; wamegeuka kando nao wanaendelea kutembea katika mwendo wao.+ Yeremia 7:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Lakini hawakusikiliza, wala hawakutega sikio lao,+ bali wakatembea katika mashauri kwa ukaidi wa moyo wao mbaya,+ hivi kwamba wakawa watu wa kuelekea nyuma wala si mbele,+
14 Lakini yeye alifanya yaliyokuwa mabaya,+ kwa maana hakuwa ameufanya imara moyo wake ili kumtafuta Yehova.+
23 Lakini hawa watu wamekuwa na moyo mgumu na wenye kuasi; wamegeuka kando nao wanaendelea kutembea katika mwendo wao.+
24 Lakini hawakusikiliza, wala hawakutega sikio lao,+ bali wakatembea katika mashauri kwa ukaidi wa moyo wao mbaya,+ hivi kwamba wakawa watu wa kuelekea nyuma wala si mbele,+