Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 5:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Laiti wangaliusitawisha moyo wao huu uniogope+ na kushika amri zangu zote sikuzote,+ ili mambo yawaendee vema, wao na wana wao mpaka wakati usio na kipimo!+

  • 1 Samweli 7:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na Samweli akaiambia nyumba yote ya Israeli: “Ikiwa mnarudi kwa Yehova+ kwa mioyo yenu yote, ondoeni miungu ya kigeni iliyo katikati yenu+ na pia zile sanamu za Ashtorethi,+ nanyi mwelekeze mioyo yenu kwa Yehova bila kuyumba-yumba, mkamtumikie yeye peke yake,+ naye atawakomboa kutoka mkono wa Wafilisti.”+

  • 1 Wafalme 18:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Kisha Eliya akawakaribia watu wote na kusema: “Mtayumba-yumba juu ya maoni mawili tofauti mpaka wakati gani?+ Ikiwa Yehova ndiye Mungu wa kweli, mfuateni yeye;+ lakini ikiwa ni Baali, mfuateni yeye.” Na watu hawakumjibu neno lolote.

  • Marko 12:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 nawe lazima umpende Yehova Mungu wako kwa moyo wako wote na kwa nafsi yako yote na kwa akili yako yote na kwa nguvu zako zote.’+

  • Waroma 12:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Upendo+ wenu na uwe bila unafiki.+ Chukieni maovu,+ shikamaneni na mema.+

  • Yakobo 5:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Ninyi pia onyesheni subira;+ fanyeni mioyo yenu kuwa imara, kwa sababu kuwapo kwa Bwana kumekaribia.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki