2 nawe utakapokuwa umerudi kwa Yehova Mungu wako+ na kusikiliza sauti yake kulingana na yote ninayokuamuru leo, wewe na wana wako, kwa moyo wako wote na kwa nafsi yako yote,+
48 nao kwa kweli warudi kwako kwa moyo wao wote+ na kwa nafsi yao yote katika nchi ya adui zao waliowachukua mateka, nao wasali kwako kuelekea upande ilipo nchi yao ambayo uliwapa mababu zao, jiji ambalo umelichagua na nyumba ambayo nimeijenga kwa ajili ya jina lako;+
7 Mtu mwovu aiache njia yake,+ na mtu mwenye madhara ayaache mawazo yake;+ naye arudi kwa Yehova, ambaye atamwonyesha rehema,+ na kwa Mungu wetu, kwa maana atasamehe kwa njia kubwa.+