Yeremia 4:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “Kama ukitaka kurudi, Ee Israeli,” asema Yehova, “unaweza kurudi kwangu mimi.+ Nawe ukiondolea mbali machukizo yako kwa ajili yangu,+ basi hutakwenda ukiwa kama mkimbizi. Hosea 12:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Na wewe inakupasa kurudi kwa Mungu wako,+ ushike fadhili zenye upendo+ na haki;+ nawe umtumaini Mungu wako sikuzote.+ Hosea 14:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Ee Israeli, rudi kwa Yehova Mungu wako,+ kwa maana umejikwaa katika kosa lako.+
4 “Kama ukitaka kurudi, Ee Israeli,” asema Yehova, “unaweza kurudi kwangu mimi.+ Nawe ukiondolea mbali machukizo yako kwa ajili yangu,+ basi hutakwenda ukiwa kama mkimbizi.
6 “Na wewe inakupasa kurudi kwa Mungu wako,+ ushike fadhili zenye upendo+ na haki;+ nawe umtumaini Mungu wako sikuzote.+