Kumbukumbu la Torati 30:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 nawe utakapokuwa umerudi kwa Yehova Mungu wako+ na kusikiliza sauti yake kulingana na yote ninayokuamuru leo, wewe na wana wako, kwa moyo wako wote na kwa nafsi yako yote,+ Isaya 31:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Rudini+ kwake Yeye ambaye wana wa Israeli wamemwasi kabisa.+ Yeremia 3:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 “Rudini, ninyi wana waasi.+ Nitaiponya hali yenu ya uasi.”+ “Sisi hapa! Tumekuja kwako, kwa maana wewe, Ee Yehova, ni Mungu wetu.+ Hosea 14:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Ee Israeli, rudi kwa Yehova Mungu wako,+ kwa maana umejikwaa katika kosa lako.+ Yoeli 2:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Na sasa pia,” asema Yehova, “rudini kwangu kwa mioyo yenu yote,+ kwa kufunga,+ kwa kulia, na kwa kuomboleza.+
2 nawe utakapokuwa umerudi kwa Yehova Mungu wako+ na kusikiliza sauti yake kulingana na yote ninayokuamuru leo, wewe na wana wako, kwa moyo wako wote na kwa nafsi yako yote,+
22 “Rudini, ninyi wana waasi.+ Nitaiponya hali yenu ya uasi.”+ “Sisi hapa! Tumekuja kwako, kwa maana wewe, Ee Yehova, ni Mungu wetu.+
12 “Na sasa pia,” asema Yehova, “rudini kwangu kwa mioyo yenu yote,+ kwa kufunga,+ kwa kulia, na kwa kuomboleza.+