Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 33:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na Manase+ akaendelea kuwashawishi Yuda+ na wakaaji wa Yerusalemu wafanye mabaya zaidi+ kuliko yale mataifa ambayo Yehova alikuwa ameyaangamiza kutoka mbele ya wana wa Israeli.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 36:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Hata wakuu wote wa makuhani+ na watu wenyewe wakatenda kwa ukosefu wa uaminifu kwa kiasi kikubwa, kulingana na machukizo+ yote ya mataifa, hivi kwamba wakaitia unajisi nyumba ya Yehova aliyokuwa ameitakasa katika Yerusalemu.+

  • Yeremia 5:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Lakini hawa watu wamekuwa na moyo mgumu na wenye kuasi; wamegeuka kando nao wanaendelea kutembea katika mwendo wao.+

  • Hosea 9:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Wamejiingiza sana katika kuleta uharibifu,+ kama katika siku za Gibea.+ Atakumbuka kosa lao;+ atakazia fikira dhambi zao.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki