Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 78:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Nao wasiwe kama mababu zao,+

      Kizazi chenye ukaidi na chenye kuasi,+

      Kizazi ambacho hakikuwa kimetayarisha moyo wake+

      Na ambacho roho yake haikuwa yenye kutegemeka kwa Mungu.+

  • Zaburi 81:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Na kwa hiyo nikawaacha waende katika ukaidi wa moyo wao;+

      Wakatembea katika mashauri yao wenyewe.+

  • Zaburi 95:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa miaka 40 nilichukizwa na kizazi hicho,+

      Nami nikasema:

      “Wao ni kikundi cha watu waliopotoka moyoni,+

      Nao wenyewe hawajapata kuzijua njia zangu”;+

  • Isaya 1:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Wakuu wako ni wakaidi na rafiki za wezi.+ Kila mmoja wao ni mwenye kupenda rushwa+ na mwenye kufuatilia zawadi.+ Hawamtendei hukumu mvulana asiye na baba; na hata kesi ya mjane haiwafikii.+

  • Isaya 65:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Nimewanyooshea watu wakaidi+ mikono yangu mchana kutwa, wale ambao wanatembea katika njia ambayo si nzuri,+ wakifuata mawazo yao;+

  • Yeremia 3:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Wakati huo wataita Yerusalemu kuwa kiti cha ufalme cha Yehova;+ na mataifa yote yataletwa pamoja+ kwake kwa jina la Yehova katika Yerusalemu,+ nao hawataufuata tena ukaidi wa moyo wao mbaya.”+

  • Yeremia 11:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Lakini hawakusikiliza wala kutega sikio lao,+ bali wakaendelea kutembea kila mmoja katika ukaidi wa moyo wake mbaya;+ na kwa hiyo nikaleta juu yao maneno yote ya agano hili nililowaamuru kufanya, lakini hawakufanya.’”

  • Yeremia 18:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Nao wakasema: “Hakuna tumaini!+ Kwa maana sisi tutafuata mawazo yetu wenyewe, nasi tutafanya kila mmoja ukaidi wa moyo wake mbaya.”+

  • Hosea 11:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na watu wangu wanaelekea kunikosea uaminifu.+ Nao huwaita kuelekea juu; wala hakuna yeyote anayesimama.

  • Matendo 7:51
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 51 “Ninyi watu wenye shingo ngumu na wasiotahiriwa katika mioyo+ na masikio, sikuzote mnaipinga roho takatifu; kama mababu zenu walivyofanya, ndivyo ninyi mnavyofanya.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki