Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 2:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Zuia mguu wako usiwe mguu wazi, na koo yako isiwe na kiu.+ Lakini ulisema, ‘Hakuna matumaini!+ Hapana, lakini mimi nimewapenda wageni,+ nami nitawafuata.’+

  • Waroma 2:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Lakini kulingana na ugumu+ wako na moyo wako usiotubu+ unajiwekea mwenyewe akiba ya ghadhabu+ katika siku ya ghadhabu+ na ya kufunuliwa+ kwa hukumu ya uadilifu ya Mungu.+

  • Waebrania 3:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 lakini endeleeni kuhimizana+ kila siku, maadamu inaweza kuitwa “Leo,”+ ili yeyote kati yenu asije akafanywa kuwa mgumu kwa nguvu za udanganyifu+ za dhambi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki