Yeremia 11:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Lakini hawakusikiliza wala kutega sikio lao; badala yake, kila mmoja wao aliendelea kuufuata kwa ukaidi moyo wake mwovu.+ Basi nikawaadhibu kulingana na maneno yote ya agano hili niliyowaamuru wafuate, lakini walikataa kuyatekeleza.’”
8 Lakini hawakusikiliza wala kutega sikio lao; badala yake, kila mmoja wao aliendelea kuufuata kwa ukaidi moyo wake mwovu.+ Basi nikawaadhibu kulingana na maneno yote ya agano hili niliyowaamuru wafuate, lakini walikataa kuyatekeleza.’”