-
Isaya 65:2Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
2 Mchana kutwa nimewanyooshea mikono yangu watu wakaidi,+
Wale wanaotembea katika njia isiyo nzuri,+
Wanaofuata mawazo yao wenyewe;+
-
Zekaria 7:11, 12Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
11 Lakini waliendelea kukataa kusikiliza,+ wakageuza migongo yao kwa ukaidi,+ na kuziba masikio yao ili wasisikie.+ 12 Waliifanya mioyo yao iwe kama almasi*+ nao walikataa kutii sheria* na maneno ambayo Yehova wa majeshi aliwapa kwa roho yake kupitia manabii wa kale.+ Kwa hiyo Yehova wa majeshi akakasirika sana.”+
-
-
-