Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 17:13, 14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Yehova aliwaonya Waisraeli na watu wa Yuda tena na tena kupitia manabii wake wote na kila mwonaji,+ akisema: “Geukeni na kuacha njia zenu ovu!+ Shikeni amri zangu na maagizo yangu kulingana na sheria yote niliyowaamuru mababu zenu na ambayo niliwapa kupitia watumishi wangu manabii.” 14 Lakini hawakusikiliza, nao wakaendelea kuwa wakaidi kama* mababu zao ambao hawakudhihirisha imani katika Yehova Mungu wao.+

  • Isaya 6:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Ufanye moyo wa watu hawa uwe mgumu,+

      Yafanye masikio yao yawe mazito,+

      Na uyafunge kabisa macho yao,

      Ili wasione kwa macho yao

      Na wasisikie kwa masikio yao,

      Ili moyo wao usielewe

      Nao wasigeuke na kuponywa.”

  • Yeremia 25:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “‘Lakini hamkunisikiliza,’ asema Yehova, ‘Badala yake mlinikasirisha kwa kazi ya mikono yenu, na kujiletea msiba.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki