Hosea 4:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Waisraeli wamekuwa wakaidi kama ng’ombe mkaidi.+ Je, sasa Yehova atawachunga kama mwanakondoo dume malishoni?* Zekaria 7:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Waliifanya mioyo yao iwe kama almasi*+ nao walikataa kutii sheria* na maneno ambayo Yehova wa majeshi aliwapa kwa roho yake kupitia manabii wa kale.+ Kwa hiyo Yehova wa majeshi akakasirika sana.”+
16 Waisraeli wamekuwa wakaidi kama ng’ombe mkaidi.+ Je, sasa Yehova atawachunga kama mwanakondoo dume malishoni?*
12 Waliifanya mioyo yao iwe kama almasi*+ nao walikataa kutii sheria* na maneno ambayo Yehova wa majeshi aliwapa kwa roho yake kupitia manabii wa kale.+ Kwa hiyo Yehova wa majeshi akakasirika sana.”+