Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 78:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Kisha hawatakuwa kama mababu zao,

      Kizazi chenye ukaidi na uasi,+

      Kizazi kilichokuwa na moyo unaoyumbayumba*+

      Na ambacho hakikuwa na roho ya uaminifu kwa Mungu.

  • Zaburi 81:11, 12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Lakini watu wangu hawakuisikiliza sauti yangu;

      Israeli hakujitiisha kwangu.+

      12 Kwa hiyo nikawaacha wafuate mioyo yao mikaidi;

      Walitenda mambo waliyofikiri yanafaa.*+

  • Zekaria 7:11, 12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Lakini waliendelea kukataa kusikiliza,+ wakageuza migongo yao kwa ukaidi,+ na kuziba masikio yao ili wasisikie.+ 12 Waliifanya mioyo yao iwe kama almasi*+ nao walikataa kutii sheria* na maneno ambayo Yehova wa majeshi aliwapa kwa roho yake kupitia manabii wa kale.+ Kwa hiyo Yehova wa majeshi akakasirika sana.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki