2 Mambo ya Nyakati 33:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Yehova aliendelea kuzungumza na Manase na watu wake, lakini hawakumsikiliza.+ Yeremia 6:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “Nitazungumza na nani na kumwonya? Ni nani atakayesikiliza? Tazama! Masikio yao yamezibwa* hivi kwamba hawawezi kusikiliza.+ Tazama! Neno la Yehova limekuwa kitu wanachokidharau;+Hawapendezwi nalo.
10 “Nitazungumza na nani na kumwonya? Ni nani atakayesikiliza? Tazama! Masikio yao yamezibwa* hivi kwamba hawawezi kusikiliza.+ Tazama! Neno la Yehova limekuwa kitu wanachokidharau;+Hawapendezwi nalo.