Zaburi 78:57 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 57 Pia wakaendelea kugeuka na kutenda kwa hila kama mababu zao;+Waligeuka huku na huku kama upinde uliolegea.+ Yeremia 3:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na Yehova akaniambia katika siku za mfalme Yosia:+ “‘Je, umeona lile ambalo Israeli asiye mwaminifu amefanya?+ Anaenda juu ya kila mlima mrefu+ na chini ya kila mti wenye majani mengi,+ ili afanye ukahaba huko.+ Yeremia 8:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa nini watu hawa, Yerusalemu, wanakosa uaminifu kwa ukosefu wa uaminifu unaodumu? Wameshika udanganyifu;+ wamekataa kurudi.+
57 Pia wakaendelea kugeuka na kutenda kwa hila kama mababu zao;+Waligeuka huku na huku kama upinde uliolegea.+
6 Na Yehova akaniambia katika siku za mfalme Yosia:+ “‘Je, umeona lile ambalo Israeli asiye mwaminifu amefanya?+ Anaenda juu ya kila mlima mrefu+ na chini ya kila mti wenye majani mengi,+ ili afanye ukahaba huko.+
5 Kwa nini watu hawa, Yerusalemu, wanakosa uaminifu kwa ukosefu wa uaminifu unaodumu? Wameshika udanganyifu;+ wamekataa kurudi.+