Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 9:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Kumbuka: Usisahau jinsi ambavyo umemchokoza Yehova Mungu wako nyikani.+ Tangu siku uliyotoka katika nchi ya Misri mpaka mlipofika mahali hapa ninyi mmekuwa wenye tabia ya kumwasi Yehova.+

  • Waamuzi 3:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Nao wakaanza kuoa binti zao,+ na binti zao wenyewe wakawapa wana wao,+ nao wakaanza kuitumikia miungu yao.+

  • Ezekieli 20:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 “Kwa hiyo sema na nyumba ya Israeli, Ee mwana wa binadamu, nawe utawaambia hivi,+ ‘Hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema: “Hata katika habari hii, mababu zenu walisema vibaya juu yangu, kwa kunitendea kwa ukosefu wa uaminifu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki