7 “Kumbuka: Usisahau jinsi ambavyo umemchokoza Yehova Mungu wako nyikani.+ Tangu siku uliyotoka katika nchi ya Misri mpaka mlipofika mahali hapa ninyi mmekuwa wenye tabia ya kumwasi Yehova.+
27 “Kwa hiyo sema na nyumba ya Israeli, Ee mwana wa binadamu, nawe utawaambia hivi,+ ‘Hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema: “Hata katika habari hii, mababu zenu walisema vibaya juu yangu, kwa kunitendea kwa ukosefu wa uaminifu.+