Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 17:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na watu wakaanza kugombana na Musa na kusema:+ “Tupe maji tunywe.” Lakini Musa akawaambia: “Kwa nini mnagombana na mimi? Kwa nini mnaendelea kumjaribu Yehova?”+

  • Hesabu 11:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Nao umati uliochangamana+ uliokuwa katikati yao ukaonyesha tamaa ya uchoyo,+ na wana wa Israeli pia wakaanza kulia tena na kusema: “Ni nani atakayetupa nyama tule?+

  • Hesabu 16:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Nao wakasimama mbele ya Musa, wao na watu 250 kati ya wana wa Israeli, wakuu wa kusanyiko, walioitwa kutoka kati ya mkutano, wanaume wenye sifa.

  • Hesabu 25:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na wanawake hao wakaja kuwaita watu waende kwenye dhabihu za miungu yao,+ nao watu wakaanza kula na kuinamia miungu yao.+

  • Kumbukumbu la Torati 31:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Kwa maana mimi—mimi najua vema uasi+ wenu na shingo yenu ngumu.+ Ikiwa wakati ambapo ningali hai pamoja nanyi leo, mmekuwa wenye tabia ya kumwasi Yehova,+ itakuwaje basi baada ya kifo changu!

  • Kumbukumbu la Torati 32:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Wametenda kwa uharibifu;+

      Wao si watoto wake, kasoro ni yao wenyewe.+

      Kizazi kilicho kombo na kilichopotoka!+

  • Nehemia 9:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Nao wenyewe, mababu zetu, wakatenda kwa kimbelembele+ na kufanya shingo zao kuwa ngumu,+ wala hawakusikiliza amri zako.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki