18 Mtu yeyote atakayeasi agizo lako,+ akatae kuyasikiliza maneno yako katika mambo yote ambayo utamwamuru, atauawa.+ Ila tu uwe hodari na mwenye nguvu.”+
26 “Hata hivyo, wakakosa kutii,+ wakakuasi+ na kuzidi kutupa sheria yako nyuma ya migongo yao,+ wakawaua manabii wako mwenyewe,+ waliotoa ushahidi juu yao ili kuwarudisha kwako;+ nao wakaendelea kutenda matendo ya ukosefu mkubwa wa heshima.+