1 Samweli 12:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Lakini msipoisikiliza sauti ya Yehova,+ na ikiwa kwelikweli mtaliasi agizo la Yehova,+ hakika mkono wa Yehova utakuwa kinyume chenu na baba zenu.+ 1 Samweli 15:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 kwa maana uasi+ ni sawa na dhambi ya uaguzi,+ na kwenda kwa kimbelembele ni sawa na kutumia nguvu za uchawi na terafimu.+ Kwa kuwa umelikataa neno la Yehova,+ basi yeye pia amekukataa wewe usiwe mfalme.”+ Methali 17:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mtu mbaya huendelea kutafuta uasi tu,+ na mjumbe anayetumwa kwake ni mkatili.+
15 Lakini msipoisikiliza sauti ya Yehova,+ na ikiwa kwelikweli mtaliasi agizo la Yehova,+ hakika mkono wa Yehova utakuwa kinyume chenu na baba zenu.+
23 kwa maana uasi+ ni sawa na dhambi ya uaguzi,+ na kwenda kwa kimbelembele ni sawa na kutumia nguvu za uchawi na terafimu.+ Kwa kuwa umelikataa neno la Yehova,+ basi yeye pia amekukataa wewe usiwe mfalme.”+