Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 31:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Sasa Labani alikuwa ameenda kunyoa kondoo wake. Wakati huohuo Raheli aliiba terafimu+ zilizokuwa za baba yake.

  • Mwanzo 31:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Ingawa wewe kwa kweli umeenda sasa kwa sababu umekuwa ukitamani mno nyumba ya baba yako, hata hivyo, kwa nini umeiba miungu yangu?”+

  • 2 Wafalme 23:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Na pia wenye kuwasiliana na pepo+ na wajuzi wa kubashiri+ matukio na terafimu+ na sanamu za mavi+ na machukizo+ yote yaliyokuwa yametokea katika nchi ya Yuda na katika Yerusalemu, Yosia akaondoa, ili atende maneno ya sheria+ yaliyoandikwa katika kile kitabu+ ambacho Hilkia kuhani alipata katika nyumba ya Yehova.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki