2 Basi Yakobo akawaambia watu wa nyumba yake na wote waliokuwa pamoja naye: “Iondoleeni mbali miungu ya kigeni iliyo katikati yenu,+ nanyi mjisafishe na kubadili nguo zenu za kujitanda,+
2 Naye Yoshua akawaambia watu wote: “Yehova Mungu wa Israeli amesema hivi, ‘Mababu+ zenu walikaa ng’ambo ile nyingine ya Mto+ zamani za kale, Tera baba ya Abrahamu na baba ya Nahori,+ nao walikuwa wakiitumikia miungu mingine.
21 Kwa maana mfalme wa Babiloni alisimama tuli katika makutano ya njia, penye kichwa cha zile njia mbili, ili kufanya uaguzi.+ Ametikisa mishale. Ameuliza habari kwa kutumia terafimu;+ ametazama ndani ya ini.
2 Kwa maana terafimu+ zimesema mambo ya uchawi; nao waaguzi wameona maono ya uwongo,+ nao huendelea kusema ndoto za bure, nao hujaribu kufariji kwa ubatili.+ Ndiyo sababu wataondoka kama kundi;+ watateseka, kwa sababu hakuna mchungaji.+