Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 31:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Ndipo Raheli na Lea wakajibu na kumwambia: “Je, kungali na fungu la urithi tena kwa ajili yetu katika nyumba ya baba yetu?+

  • Mwanzo 31:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Ingawa wewe kwa kweli umeenda sasa kwa sababu umekuwa ukitamani mno nyumba ya baba yako, hata hivyo, kwa nini umeiba miungu yangu?”+

  • Mwanzo 35:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Basi Yakobo akawaambia watu wa nyumba yake na wote waliokuwa pamoja naye: “Iondoleeni mbali miungu ya kigeni iliyo katikati yenu,+ nanyi mjisafishe na kubadili nguo zenu za kujitanda,+

  • Yoshua 24:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Naye Yoshua akawaambia watu wote: “Yehova Mungu wa Israeli amesema hivi, ‘Mababu+ zenu walikaa ng’ambo ile nyingine ya Mto+ zamani za kale, Tera baba ya Abrahamu na baba ya Nahori,+ nao walikuwa wakiitumikia miungu mingine.

  • Ezekieli 21:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Kwa maana mfalme wa Babiloni alisimama tuli katika makutano ya njia, penye kichwa cha zile njia mbili, ili kufanya uaguzi.+ Ametikisa mishale. Ameuliza habari kwa kutumia terafimu;+ ametazama ndani ya ini.

  • Zekaria 10:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kwa maana terafimu+ zimesema mambo ya uchawi; nao waaguzi wameona maono ya uwongo,+ nao huendelea kusema ndoto za bure, nao hujaribu kufariji kwa ubatili.+ Ndiyo sababu wataondoka kama kundi;+ watateseka, kwa sababu hakuna mchungaji.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki