Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 18:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Ndipo wale watu watano waliokuwa wameenda kuipeleleza+ nchi ya Laishi+ wakajibu na kuwaambia ndugu zao: “Je, mlijua kwamba katika nyumba hizi mna efodi na terafimu+ na sanamu ya kuchongwa+ na sanamu ya kuyeyushwa?+ Na sasa mfikirie akilini yale mtakayofanya.”+

  • 2 Wafalme 23:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Na pia wenye kuwasiliana na pepo+ na wajuzi wa kubashiri+ matukio na terafimu+ na sanamu za mavi+ na machukizo+ yote yaliyokuwa yametokea katika nchi ya Yuda na katika Yerusalemu, Yosia akaondoa, ili atende maneno ya sheria+ yaliyoandikwa katika kile kitabu+ ambacho Hilkia kuhani alipata katika nyumba ya Yehova.+

  • Zekaria 10:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kwa maana terafimu+ zimesema mambo ya uchawi; nao waaguzi wameona maono ya uwongo,+ nao huendelea kusema ndoto za bure, nao hujaribu kufariji kwa ubatili.+ Ndiyo sababu wataondoka kama kundi;+ watateseka, kwa sababu hakuna mchungaji.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki