-
Waamuzi 18:2Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
2 Mwishowe wana wa Dani wakatuma watu watano wa familia yao, wanaume kutoka kati yao, wanaume waliokuwa watu mashujaa, kutoka katika Sora+ na Eshtaoli,+ wapate kuipeleleza+ nchi na kuichunguza. Basi wakawaambia: “Nendeni, chunguzeni nchi.” Baadaye wakaja katika eneo lenye milima la Efraimu+ mpaka kwenye nyumba ya Mika,+ wakalala hapo usiku kucha.
-