52 Nanyi mnapaswa kuwafukuzia mbali wakaaji wote wa nchi hiyo kutoka mbele yenu na kuharibu maumbo yao yote ya mawe,+ nanyi mnapaswa kuziharibu sanamu zao zote za madini ya kuyeyusha,+ na mnapaswa kupaharibu mahali pao pote patakatifu.+
2 Mnapaswa kuangamiza kabisa+ mahali pote ambapo mataifa mnayoyafukuza yameitumikia miungu yao, juu ya milima mirefu na vilima na chini ya kila mti wenye majani mengi.+