Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 23:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Usiinamie miungu yao wala kuchochewa kuitumikia, wala usifanyize chochote kilicho kama kazi zao,+ bali lazima utawaangusha nawe lazima uzivunje nguzo zao takatifu.+

  • Kutoka 34:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Lakini madhabahu zao mtazibomoa, nazo nguzo zao takatifu mtazivunja, nayo miti yao mitakatifu mtaikata.+

  • Kumbukumbu la Torati 7:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “Kwa upande mwingine, hivi ndivyo mtakavyowafanyia: Madhabahu zao mtazibomoa,+ nazo nguzo zao takatifu mtazivunja,+ nayo miti yao mitakatifu+ mtaikata,+ na sanamu zao za kuchongwa mtaziteketeza kwa moto.+

  • Kumbukumbu la Torati 12:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Nanyi mtabomoa madhabahu+ zao na kuvunja-vunja nguzo zao takatifu,+ nanyi mtaiteketeza miti yao mitakatifu+ katika moto na kukata sanamu za kuchongwa+ za miungu yao, nanyi mtayaharibu majina yao kutoka mahali hapo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki