25 Na ikawa usiku huo kwamba Yehova akamwambia tena: “Mchukue yule ng’ombe-dume mchanga, yule ng’ombe-dume wa baba yako, yaani, yule ng’ombe-dume mchanga wa pili mwenye miaka saba, nawe ubomoe madhabahu ya Baali+ ambayo ni ya baba yako, na ule mti mtakatifu ulio kando yake, uukate.+