13 Na ikawa kwamba wakati wana wa Israeli walipokuwa wamepata nguvu,+ wakawaweka Wakanaani wafanye kazi ya kulazimishwa,+ wala hawakuwafukuza kikamilifu.+
19 Na Yehova akaendelea kuwa na Yuda, naye akamiliki eneo lenye milima, lakini hakuweza kuwafukuza wakaaji wa ile nchi tambarare ya chini, kwa sababu walikuwa na magari ya vita+ yenye miundu ya chuma.+