10 Nao hawakuwafukuza Wakanaani+ waliokuwa wakikaa katika Gezeri,+ na Wakanaani hao huendelea kukaa katikati ya Efraimu mpaka leo hii,+ nao wakawa watumishi wa kazi ya kulazimishwa.+
30 Zabuloni+ hakuwafukuza wakaaji wa Kitroni na wakaaji wa Nahaloli,+ lakini Wakanaani waliendelea kukaa kati yao,+ nao wakatiwa katika kazi ya kulazimishwa.+
8 kutoka kwa wana wao waliokuwa wameachwa baada yao katika nchi, ambao wana wa Israeli hawakuwaangamiza,+ Sulemani akaendelea kuwaandikisha+ kwa ajili ya kazi ya kulazimishwa mpaka leo hii.+