Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 20:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Ni katika majiji ya watu hawa tu ambayo Yehova anakupa yawe urithi ambayo hutaacha hai chochote kinachopumua,+

  • Yoshua 16:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Nao hawakuwafukuza Wakanaani+ waliokuwa wakikaa katika Gezeri,+ na Wakanaani hao huendelea kukaa katikati ya Efraimu mpaka leo hii,+ nao wakawa watumishi wa kazi ya kulazimishwa.+

  • Waamuzi 1:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Zabuloni+ hakuwafukuza wakaaji wa Kitroni na wakaaji wa Nahaloli,+ lakini Wakanaani waliendelea kukaa kati yao,+ nao wakatiwa katika kazi ya kulazimishwa.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 8:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 kutoka kwa wana wao waliokuwa wameachwa baada yao katika nchi, ambao wana wa Israeli hawakuwaangamiza,+ Sulemani akaendelea kuwaandikisha+ kwa ajili ya kazi ya kulazimishwa mpaka leo hii.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki