Yoshua 15:63 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 63 Lakini wale Wayebusi+ waliokuwa wakikaa katika Yerusalemu,+ wana wa Yuda hawakuweza kuwafukuza;+ basi hao Wayebusi wanaendelea kukaa pamoja na wana wa Yuda katika Yerusalemu mpaka leo hii. Yoshua 17:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na wana wa Manase hawakuweza kuyamiliki majiji hayo,+ bali Wakanaani waliendelea kukaa katika nchi hiyo.+ Zaburi 106:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Hawakuangamiza vikundi vya watu,+Kama Yehova alivyokuwa amewaambia.+
63 Lakini wale Wayebusi+ waliokuwa wakikaa katika Yerusalemu,+ wana wa Yuda hawakuweza kuwafukuza;+ basi hao Wayebusi wanaendelea kukaa pamoja na wana wa Yuda katika Yerusalemu mpaka leo hii.
12 Na wana wa Manase hawakuweza kuyamiliki majiji hayo,+ bali Wakanaani waliendelea kukaa katika nchi hiyo.+