Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 23:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Wasikae katika nchi yako, wasije wakakufanya unitendee dhambi. Ikiwa utaitumikia miungu yao, itakuwa mtego kwako.”+

  • Hesabu 33:55
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 55 “‘Hata hivyo, ikiwa hamtawafukuzia mbali wakaaji wa nchi hiyo kutoka mbele yenu,+ basi wale mtakaoacha watakuwa kama michomo katika macho yenu na kama miiba ubavuni mwenu, nao watawasumbua katika nchi ambamo mtakuwa mkikaa.+

  • Kumbukumbu la Torati 20:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 kwa sababu lazima utawaangamiza, Wahiti na Waamori, Wakanaani na Waperizi, Wahivi na Wayebusi,+ kama vile ambavyo Yehova Mungu wako amekuamuru;

  • Yoshua 23:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 mnapaswa kujua hakika kwamba Yehova Mungu wenu hataendelea kuyanyang’anya mataifa haya miliki yao kwa ajili yenu;+ nayo yatakuwa kwenu kama mtego na mnaso na kama kiboko mbavuni mwenu+ na kama miiba machoni penu mpaka mtakapoangamia na kutoka katika nchi hii nzuri ambayo Yehova Mungu wenu amewapa ninyi.+

  • Waamuzi 2:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Kwa hiyo Yehova akayaacha mataifa hayo yabaki kwa kutoyafukuza upesi,+ wala hakuyatia mkononi mwa Yoshua.

  • Waamuzi 3:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 kusudi kwamba vizazi vya wana wa Israeli vipate kufunzwa, ili kuwafundisha vita, yaani, wale tu ambao hawakuwa wameona mambo kama hayo kabla ya wakati ule:

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki