Waamuzi 2:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Basi, mimi kwa upande wangu nimesema, ‘Sitawafukuza kutoka mbele yenu, nao watakuwa mitego kwenu,+ na miungu yao itakuwa mtego kwenu.’”+ Waamuzi 2:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 mimi pia, kwa upande wangu, sitafukuza tena kutoka mbele yao hata taifa moja kati ya yale mataifa ambayo Yoshua aliacha wakati alipokufa,+ Waamuzi 3:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ndipo hasira ya Yehova ikawaka juu ya Israeli,+ naye akawauza+ mkononi mwa Kushan-rishathaimu mfalme wa Mesopotamia;+ na wana wa Israeli wakaendelea kumtumikia Kushan-rishathaimu kwa miaka minane.
3 Basi, mimi kwa upande wangu nimesema, ‘Sitawafukuza kutoka mbele yenu, nao watakuwa mitego kwenu,+ na miungu yao itakuwa mtego kwenu.’”+
21 mimi pia, kwa upande wangu, sitafukuza tena kutoka mbele yao hata taifa moja kati ya yale mataifa ambayo Yoshua aliacha wakati alipokufa,+
8 Ndipo hasira ya Yehova ikawaka juu ya Israeli,+ naye akawauza+ mkononi mwa Kushan-rishathaimu mfalme wa Mesopotamia;+ na wana wa Israeli wakaendelea kumtumikia Kushan-rishathaimu kwa miaka minane.