Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 23:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Wasikae katika nchi yako, wasije wakakufanya unitendee dhambi. Ikiwa utaitumikia miungu yao, itakuwa mtego kwako.”+

  • Kutoka 34:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Jiangalie usije ukafanya agano pamoja na wakaaji wa nchi hiyo unayoiendea,+ isije ikawa mtego katikati yako.+

  • Kumbukumbu la Torati 7:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Nawe utawaangamiza watu wote ambao Yehova Mungu wako anawatia mkononi mwako.+ Jicho lako lisiwasikitikie;+ wala usiitumikie miungu yao,+ kwa sababu jambo hilo litakuwa mtego kwako.+

  • 1 Wafalme 11:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 kutoka kwa mataifa ambayo Yehova alikuwa amewaambia wana wa Israeli: “Msiingie kati yao,+ nao wasije kati yenu; kwa hakika watageuza moyo wenu uifuate miungu yao.”+ Hao ndio Sulemani alishikamana+ nao na kuwapenda.

  • Zaburi 78:58
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 58 Nao wakaendelea kumtia uchungu kwa mahali pao pa juu,+

      Nao wakaendelea kumchochea awe na wivu kwa sanamu zao za kuchongwa.+

  • Zaburi 106:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Nao waliendelea kutumikia sanamu zao,+

      Nazo zikawa mtego kwao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki